KBC Radio Taifa

KBC Radio Taifa

Резултат 95
Световна позиция #1972
Позиция в държавата #34 Кения

За станцията

KBC Radio Taifa ni kituo cha redio cha Kiswahili kinachomilikiwa na Shirika la Utangazaji Nchini Kenya (KBC). Kilianza mwaka 1953 kikiwa kinajulikana kama African Broadcasting Service. Kituo hiki kinatangaza habari, mahojiano, michezo, biashara, burudani na muziki kwa hadhira ya wakenya wanaozungumza Kiswahili.

Контакти на станцията