Mazingira FM

Mazingira FM

Бунда 91.7 FM
Резултат 11
Световна позиция #10438
Позиция в държавата #58 Танзания

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii, kilichoanzishwa Mwaka 2011. Kituo kinatangaza kutoka maeneo matatu ndani ya mkoa wa Mara (Bunda, Musoma na Tarime) na kinasikika katika mikoa ya Mara, Simiyu na Mwanza. Muundo wa vipindi ni 70% mazungumzo na 30% muziki.

За станцията

Контакти на станцията