Mazingira FM

Mazingira FM

Μπουντά 91.7 FM
Βαθμολογία 11
Θέση παγκοσμίως #10603
Θέση στη χώρα #62 Τανζανία

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii, kilichoanzishwa Mwaka 2011. Kituo kinatangaza kutoka maeneo matatu ndani ya mkoa wa Mara (Bunda, Musoma na Tarime) na kinasikika katika mikoa ya Mara, Simiyu na Mwanza. Muundo wa vipindi ni 70% mazungumzo na 30% muziki.

Σχετικά

Επικοινωνία σταθμού