Tanakh FM

Tanakh FM

Μόσι 105.9 FM
Βαθμολογία -5
Θέση παγκοσμίως #51116
Θέση στη χώρα #231 Τανζανία

Tanakh FM ni kituo cha radio kinachorusha kutoka Moshi mkoani Kilimanjaro, Tanzania. Kituo hiki kinamilikiwa na kanisa la KHOEM na kinatoa vipindi vya kiroho, mahubiri, maombezi na mafundisho yenye nguvu ya Mungu. Kinahudumia jamii kwa vipindi vya kijamii na kiroho masaa 24 kwa siku.

Σχετικά

Επικοινωνία σταθμού