Mazingira FM

Mazingira FM

Bunda 91.7 FM
Puntuación 10
Posición mundial #11317
Posición en el país #65 Tanzania

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii, kilichoanzishwa Mwaka 2011. Kituo kinatangaza kutoka maeneo matatu ndani ya mkoa wa Mara (Bunda, Musoma na Tarime) na kinasikika katika mikoa ya Mara, Simiyu na Mwanza. Muundo wa vipindi ni 70% mazungumzo na 30% muziki.

Sobre la emisora

Contacto de la emisora