Tanakh FM
Moshi 105.9 FM
1
Tanakh FM ni kituo cha radio kinachorusha kutoka Moshi mkoani Kilimanjaro, Tanzania. Kituo hiki kinamilikiwa na kanisa la KHOEM na kinatoa vipindi vya kiroho, mahubiri, maombezi na mafundisho yenye nguvu ya Mungu. Kinahudumia jamii kwa vipindi vya kijamii na kiroho masaa 24 kwa siku.
Sobre la emisora
Contacto de la emisora
- Dirección:P. O. BOX 10007, Moshi, Tanzania
- Teléfono:+255 657 533 221
- Email:info@sautiyaufalme.co.tz
- Web:tanakhfm.radiostream123.com
- Redes: