Access Fm Radio

Access Fm Radio

Punktid -2
Maailma koht #38892
Riigi koht #140 Tansaania

Info

Access FM Radio ni kituo cha miondoko cha Contemporary Hits Station (CHR) kinachotangaza kutoka Mbeya, Tanzania kwenye frequency 100.9 FM. Kituo kinatoa burudani, habari, mazungumzo na michezo kwa hadhira ya vijana na wazee katika Kanda ya Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania ikiwemo mikoa ya Mbeya, Songwe, Rukwa, Njombe, Iringa, Tabora na Singida.

Jaama kontakt