KBC Radio Taifa

KBC Radio Taifa

Nairobi 92.9 FM
Pisteet 72
Maailman sijoitus #2154
Maan sijoitus #34 Kenia

KBC Radio Taifa ni kituo cha redio cha Kiswahili kinachomilikiwa na Shirika la Utangazaji Nchini Kenya (KBC). Kilianza mwaka 1953 kikiwa kinajulikana kama African Broadcasting Service. Kituo hiki kinatangaza habari, mahojiano, michezo, biashara, burudani na muziki kwa hadhira ya wakenya wanaozungumza Kiswahili.

Tietoja

Aseman yhteystiedot