Mazingira FM

Mazingira FM

ブンダ 91.7 FM
スコア 11
世界順位 #10585
国内順位 #62 タンザニア

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii, kilichoanzishwa Mwaka 2011. Kituo kinatangaza kutoka maeneo matatu ndani ya mkoa wa Mara (Bunda, Musoma na Tarime) na kinasikika katika mikoa ya Mara, Simiyu na Mwanza. Muundo wa vipindi ni 70% mazungumzo na 30% muziki.

概要

局の連絡先