KBC Radio Taifa

KBC Radio Taifa

Punkti 93
Vieta pasaulē #1993
Vieta valstī #35 Kenija

Par

KBC Radio Taifa ni kituo cha redio cha Kiswahili kinachomilikiwa na Shirika la Utangazaji Nchini Kenya (KBC). Kilianza mwaka 1953 kikiwa kinajulikana kama African Broadcasting Service. Kituo hiki kinatangaza habari, mahojiano, michezo, biashara, burudani na muziki kwa hadhira ya wakenya wanaozungumza Kiswahili.

Stacijas kontakti