KBC Radio Taifa

KBC Radio Taifa

Nairobi 92.9 FM
Punkti 59
Vieta pasaulē #2542
Vieta valstī #41 Kenija

KBC Radio Taifa ni kituo cha redio cha Kiswahili kinachomilikiwa na Shirika la Utangazaji Nchini Kenya (KBC). Kilianza mwaka 1953 kikiwa kinajulikana kama African Broadcasting Service. Kituo hiki kinatangaza habari, mahojiano, michezo, biashara, burudani na muziki kwa hadhira ya wakenya wanaozungumza Kiswahili.

Par

Stacijas kontakti