Sauti Ya Quran FM

Sauti Ya Quran FM

Дар ес Салам 102.1 FM
Поени 18
Место во светот #6775
Место во земјата #44 Танзанија

Sauti Ya Quran FM ni chombo cha habari cha Kiislamu kinachomilikiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA). Inatoa vipindi vya kidini, habari, na elimu kwa jamii, ikisikika katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi, Morogoro na Zanzibar.

За

Контакти на станицата