Kilimanjaro Revival FM

Kilimanjaro Revival FM

Моши 95.9 FM
Рейтинг 11
Позиция в мире #9278
Позиция в стране #49 Танзания

Kilimanjaro Revival FM ni kituo cha redio cha Kikristo kinachomilikiwa na Kilimanjaro Revival Temple (TAG-KRT) kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro. Kina matangazo ya kujenga na kuhimiza wasikilizaji kupitia programu za kuarifu, kuelimisha na kuburudisha huku kikitukuza Mungu. Kinalenga eneo lote la Kilimanjaro na sehemu za Arusha, Manyara, Singida na Tanga kwa frequency 95.9 FM.

О станции

Контакты станции