Magic FM Tanzania

Magic FM Tanzania

Дар-эс-Салам 92.9 FM
Рейтинг 37
Позиция в мире #3549
Позиция в стране #25 Танзания

Magic FM ni kituo cha redio cha masaa 24 kilichoanzishwa mwaka 2000 kutoka jijini Dar es Salaam, Tanzania. Inatangaza kupitia 92.9 FM Dar es Salaam, Mtwara na Lindi, 101.7 FM Mwanza na Tanga, 98.5 FM Arusha na 93.3 FM Dodoma. Kituo kinatoa burudani, habari na mahojiano ya kipekee na wasanii.

О станции

Контакты станции