Radio Tumaini

Radio Tumaini

Dar es Salaam 96.5 FM
Body 2
Poradie vo svete #26749
Poradie v krajine #136 Tanzánia

Radio Tumaini ni kituo cha redio cha jamii kinachomilikiwa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Tanzania. Kina matangazo ya dini, habari, elimu, burudani na siasa kwa lugha ya Kiswahili. Kilianza kutoa matangazo mwaka 1994 kama kituo cha kwanza cha redio binafsi nchini Tanzania.

O

Kontakty stanice