LOVE UNTOLD PODCAST
love untold podcast
0
"Love Untold (Jesus Love)" is a podcast that explores the transformative power of Jesus' love in our lives. Hosted by passionate speakers, it features personal testimonies and scripture-based teachings to provide practical insights and inspiration for those seeking to deepen their experience of Jesus' love. Join us on this journey of discovering the untold love of Jesus.
Epizody
-
Belief.Faith.Trust 24.06.2026 49minBelief. Faith. Trust.These words are often used interchangeably, but are they the same?In this episode of Love Untold, we unpack what it truly means to have faith in God. Discover the difference between believing in God, living by faith, and trusting Him—even when you can’t see the outcome.Key Scriptures: Hebrews 11:1, James 2:19, Proverbs 3:5–6.Join us for the conversation, and let us know: What has faith in God looked like in your own journey?
-
LONG WAY BUT BETTER WAY 27.02.2026 16minIn this episode of Love untold podcast we explore a powerful lesson from the journey of the Israelites when God chose to lead them through a longer path instead of the shorter road to the Promised Land.Why would God allow a longer journey when a faster option existed?Sometimes what feels like delay is actually protection. Sometimes the long road is where growth, preparation, and transformation happen. This episode speaks to anyone who feels like life, love, purpose, or progress is taking longer than expected.Through biblical insight and real-life reflection, this conversation reminds us that God’s direction is not based on speed, but on readiness.If you are in a waiting season, a slow season, or a rebuilding season this episode is for you.It may be a long way… but it is a better way.Scripture Reference: Kitabu cha Kutoka 13:17
-
SPECIAL XMASS EDITION 07.12.2025 12minKuzaliwa kwake Yesu kristo kulikuwa hivi mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na yusufu kabla hawajakaribiana alionekana ana mimba kwa uweza wa roho mtakatifu. Naye yusufu aliazimia kumuacha kwa siri ili asimuaibishe Wewe huwa unatii ndoto?? Haijalishi zina ujumbe gani
-
COMMUNICATION BEFORE COVENANT 14.09.2025 1h 16minCommunication Before Covenant: Because two cannot walk together unless they agree (Amos 3:3).Marriage is a covenant, not a contract and preparation goes deeper than the wedding day. In this episode, we dive into the crucial conversations every couple must have before saying “I do.”We explore: • Faith and religious beliefs • Handling conflicts with grace • Family roles and expectations • Setting marriage boundaries (including infidelity) • Sex and intimacy • Money matters and financial alignmentThis isn’t about fear it’s about building a foundation of agreement, clarity, and intentional love. Tune in and discover how to walk into marriage with eyes open, hearts aligned, and a covenant that lasts.
-
KINGDOM DATING INTRO 07.09.2025 47minWelcome to the Kingdom Dating Series!Let's walk together on this amazing journey of discovery unpacking the sides of ourselves and relationships that we may not have explored yet. This is not just about dating, but about learning, growing, and walking in God's kingdom principles for love and relationships.We invite you to join Robin and Ruth as we learn, share, and grow together in this exciting series.* Don't forget to leave us a message with your thoughts, experiences, or questions because this journey is better when we do it together.Kingdom Dating Series - Building love, faith, and purpose.
-
A TRUE FRIEND 06.05.2025 3minRafiki hupenda sikuzote; Na ndugu amezaliwa kwa ajili ya taabu.” (Methali 17:17)Mtu aliye na rafiki nyingi hujiangamiza; Bali iko rafiki aambatanaye na mtu kuliko ndugu.”
-
WOMAN LIKE DORCAS 10.03.2025 1hMwanamke kama dorcas ni mwenye huruma. Mwenye kutumia kila alicho nacho kwenye mazingira yake kupambania mambo yaweze kukaa sawa katika jamii yake. Mwanamke kama dorcas ni yule ambaye hasubiri kuambiwa atende wema ni mwanamke anayeinuka na kufanya wema kwa wengine kama mwanamke shujaa katika jamii anayoishi. Ni muda sasa wanawake kuwa na moyo wa kujitoa na kusaidia wale wasiojiweza katika jamii.
-
Secret behind prayers 02.02.2025 1h 51minKaribu tusikilize kwa pamoja kipindi cha Bongo gospel leo na kujifunza mengi juu ya maombi na kwa nini tuombe wakati Mungu anajua na kufahamu haja za mioyo yetu. Na nini kipo nyuma ya maombi
-
Why Do we fast 18.01.2025 1h 48minHello family karibu sana kwenye kipindi hiki cha bongo gospel. Hapa tutakuwa tunapata baraka ya top ten ya bongo gospel pia tutakuwa tunapata kusikia neno la siku na shuhuda yani God and I karibu this show goes live hapa love untold podcast and mtawala radio kila siku za jumamosi kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 4 asubuhi
-
THE LAST DANCE 29.12.2024 12minMipango yetu ya kimwili ni muhimu lakini mipango yetu ya kiroho ni muhimu zaidi tunapo enda kuanza mwaka 2025 hakikisha umeandaa vizuri mipango yako ya kiroho kwa ajili ya mwaka 2025 ili Mungu akakusimamie katika mipango yako ya kimwili. Kwenye episode hii ya 10 na ya mwisho kwa mwaka huu 2024 utapata kufahamu mambo ya kufanya ya kiroho kujiandaa kuingia 2025. mungu akubariki na ukawe na usikilizaji mzuri
-
Formula ya mafanikio ni ipi? 25.11.2024 26minIn this episode, we dive into the ultimate formula for success: a powerful combination of hard work (juhudi), integrity (uaminifu), and meaningful connections. Join us as we explore how these elements, along with a growth mindset and faith in God’s grace, can lead to lasting success. Tune in for practical insights and biblical wisdom to help you unlock your full potential and thrive in every area of life.
-
HOFU YA MUNGU INAYO AMBATANA NA KUMCHA BWANA 14.11.2024 18minUkisema una hofu ya Mungu lazima iambatane na kumcha Mungu karibu tupokee neno la uzima toka kwa man of God lwitiko
-
Baraka zako zikufikie kwa wakati 05.08.2024 32minNi maombi ya kutoka moyoni kwamba Baraka za Mungu zitakufikia wakati unaofaa, kulingana na wakati wake kamili. Inaelezea hamu ya kuwa na imani na uaminifu katika mpango wa Mungu na utambuzi kwamba Baraka zake daima huwa za wakati nainazotimiza. Mathayo 11:12
-
MY PRIVACY 28.07.2024 25minKutengeza faragha na Mungu ni sehemu ya maisha ya mkristo na itakusaidia kujenga uhusiano mzuri na wa karibu na Mungu
-
INTIMATE WITH CHRIST 22.07.2024 40minThe Intimate with Christ podcast episode explores the topic of intimacy with God by drawing parallels with intimate human relationships. Listeners will gain a deeper understanding God's desire for genuine, vulnerable, and passionate connection with His people. The podcast delves into the importance of trust, communication, vulnerability, and commitment in building a strong, fulfilling with God. The host also shares personal experiences of intimate moments with Christ and offers practical tips on how to grow in intimacy with God. This episode is a must-listen for anyone seeking to deepen their spiritual connection and experience the fullness of God's love.
-
DINI ILIYOSAFI 07.07.2024 34minThis podcast episode is about the concept of unblemished religion in James 1:27. We will discuss what means and how it relates to our daily lives as Christians, including caring for the and staying pure from worldly influences.
-
A nazarite of today 03.07.2024 35min21st century nazarites are called into “holiness” a life of separation from the world. Holiness in simple terms means Obidience to God. 1peter 1:15-16
-
What do you seek first in life? 05.05.2024 13minAs a Christian, we seek to know and fulfill God's purpose for our lives, grow in our relationship with Him and more like Christ, serve others selflessly, share the gospel, and make a positive impact in the world. Our desire is to honor and glorify God in all that we do and fulfill the purpose He has for us.
-
SHUKRANI YA PUNDA MATEKE 21.01.2024 17minIbada ya Tarehe 21/1/2024 Sermon Summary Mch: Ephraim Mbila. 1Samweli 25 Habari ya Nabali. Somo: Shukurani ya Punda ni Mateke. Nabali alikua ana mifugo yapatayo 4,000 na wachungaji. Daudi alipokua eneo alilokua akifanya machungi aliweza pia kufanyika ulinzi wa mifugo yake pamoja na wachungaji wa mifugo yake. Maana ya jina Nabali - mtu Mpumbavu “a Fool”. Ijapokua alikua na mali nyingi lakini alikua mtu muovu,aliyekosa adabu. Ijapokua ni mtu mpumbavu na muovu Alipata mke mzuri Abigail -maana ya jina lake “furaha ya baba yake.” Abigail aliutambua udhaifu wa mume wake na kwa hekima aliufunika. Katika habari iliyo katika kitabu hiki, Inafika kipindi cha Mavuno kwa Nabali na Daudi awatuma vijana wake kwa Nabali kwamba aweze kumpa chochote kwa ajili ya jeshi lake na yeye. Majibu ya Nabali yatoka kwa kiburi na yenye jeuri na anasisitiza kua hamtambui Daudi, wala kazi ile ya ulinzi Daudi na Jeshi lake waliofanya kwa mifugo na wachungaji wake. Tutafakari Mungu anapokuja kwetu na yeye ndiye aliyetupa yote tulionyayo si kwa kustahili bali kwa neema yake. Je tunajibu nini? Mfano:(Mafuriko haya yaliyoleta maafa makubwa na upotevu wa maisha je ni nini cha ziada tulichofanya kustahili kua salama?) Ni wachache huingia kwenye maombi kuomba walivyonavyo iwe ni watoto,ni kazi ni elimu. Je ni kweli kwamba vyote tuliomba kwa Mungu ndio maana amekupa au Je ni kweli kua vingi ambavyo tunavyo tumejikuta tumevipata. Ni kweli pia kua kuna ambavyo tumeomba na hatujapata kwa kua tunaomba vibaya kwa ajili ya tamaa zetu wenyewe. Ila ni mengi Mungu hututendea na bado tumekua wenye kiburi kutambua ya kua vyote tulivyo navyo ni kwa utukufu wake. Mfano wa mchungaji: “Nimepaki V8 nje ya kanisa ili kila atakaeulizwa ajibiwe ni la Mch: Mwakajangwa , wanikome na waniheshimu” Bila Mkono wa Mungu aliye Hai haiwezekani kufanikiwa. Si kwa ujuzi wala uwezo tulionao tusiwe wapumbavu kama Naabali “a fool” Je Tunajibu nini tunapotakiwa kuwatunza watumishi wa Bwana? Hua tunajibu nini? Tumeongea maneno ya jeuri na maneno magumu kwa watu. Kama nabali tumejibu majibu magumu na yasiyofaa mbele za Mungu. Jibu la Daudi; Anachukua Silaha na jeshi zima kwenda kumaliza familia ya nabali wala hakuna ataesalia. Ni kwa kiburi chake ameleta uangamivu kwenye familia yake. Japo Abigail kwa hekima aliweza kuzuia hilo Nabali alikufa kwa ugonjwa wa moyo. Siri kubwa ni mkono wa Mungu kwenye maisha yetu unapotoweka basi shetani huchukua nafasi. Mungu ni Mungu mwenye hasira ingawa biblia inasema si mwepesi wa Hasira bali ni mwingi wa rehema. Tusiwe kama Nabali mpumbavu na kupelekea Mungu kuchukua kiti cha hukumu kwenye maisha yetu. Neno la Mungu ni amri, maneno ya Mungu ni maagizo ni katika utii ndipo tutaweza kutenda sawa sawa. Tafakari Je yawezekanaje mtu kulalamika wazi juu ya maombi kanisani? Je yawezekanaje mtu kupinga waziwazi ajenga za Mungu kanisani hasa juu ya utoaji? -“Kwanini tutoe ujenzi?” “Kwanini tutunze madhabahu?” “Kwanini tuchangie wagonjwa?” “Kwanini huu msiba tuchange?” Maombi ni muhimiri wa kanisa , ni vyema kua na akili na kutambua hawa watu wenye maswali yapingayo agenda za Kimungu ni chanzo cha uharibifu kanisa, Na kama “upumbavu” wa Nabali kupeleka anguko letu. Luka 7:1-10 Habari ya akida aliyepata uponyaji kwasababu ya mema aliyofanya kwa taifa la israel na ujenzi wa Sinagogi. Funzo: katika kutoa kwake aliweza kupata kibali cha kusikilizwa na habari yake kufikishwa kwa Yesu na kupata uponyaji. Kuelekea sikukuu ya uwakili tukaseme Mungu asante kwa yote aliyotupa na tukatoe sawasawa na uaminifu wetu kwa Mungu. Tuachane na uoga wa maisha haya vinywa vyetu visiwe vyepesi kutamka madhaifu “Januari ni mwezi dume” tukiri maneno ya Mungu wakati wote bila kuangalia mazingira. Mwanakondoo Ameshinda.
-
GOD AS A SHEPHERD 31.10.2023 19minUnapo kuwa unasoma zaburi ya 23 usisome kama kawaida ya kusoma kwako bali isome zaburi ya 23 kama kondoo ambaye ana muomba mchungaji wake ambaye ni Bwana Mungu wetu awe kiongozi katika maisha yake siku zote bila kukata tamaa... ukiamini kwamba Bwana ni mchungaji wako basi kubali kuchungwa naye na kwenda pale anapo kuelezeka. Karibu usikilize ujumbe huu Mungu amelenga ukufikie wewe hapo ndio wewe hapo
Oblíbený v
Tento podcast se objevuje také v podcastových žebříčcích těchto zemí.