FUATA BIBLIA IKUONGOZE
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32
Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu.
Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.
Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha FAUTA BIBLIA IKUONGOZE. Ili apate maarifa ya Neno la Mungu.
Soma: Hosea 4:66 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Una karibishwa kuuliza ulizo lolote ulilo nalo katika Biblia, na kuleta mahoni yako, kwa usahidizi wa kipindi hiki.
Sikiliza mafundisho Pia hapa kwenye YOUTUBE:https://www.youtube.com/@fuatabibliaikuongoze5921
Επεισόδια
-
Sababu gani Yesu alipanda Punda kuelekea Yerusalemu? 17.04.2025 43λMafundisho kuhusu Pasaka, sikiliza hii ingine. https://soundcloud.com/user-529110866/fundisho-kuhusu-pasaka?si=7d1a61d4053b4fb6851d3f5deb910b79&utm_source=clipboard&utm_medium=text&utm_campaign=social_sharing
-
TAJI AU THAWABU ZITAKAZOPEWA WATAKATIFU 16.07.2024 39λ1 Wakorintho 3:12-15 12 Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri. 13 Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani. 14 Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu. 15 Kazi ya mtu ikiteketea, atapata hasara; ila yeye mwenyewe ataokolewa; lakini ni kama kwa moto. Pia hapa kenye: Apple Podcast: https://podcasts.apple.com/dk/podcast/fuata-biblia-ikuongoze/id1329309738 Spotify Podcast: https://open.spotify.com/show/63df4Xlq7snUoF99dXliMm
-
Itaji Wimbo Mpya Part 2 16.04.2024 35λZaburi 32:7 7 Ndiwe sitara yangu, utanihifadhi na mateso, Utanizungusha nyimbo za wokovu. Itaji limbo mpya ( Daniel 6 )
-
Itaji Wimbo Mpya Part 1. 18.02.2024 38λItaji Wimbo Mpya Part 1. by FUATA BIBLIA
-
Tunda La Roho ( UVUMILIVU ) 19.09.2023 8λWagalatia 5:22-23 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
-
Tunda La Roho ( AMANI ) 14.07.2023 22λWagalatia 5:22-23 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
-
Tunda La Roho ( FURAHA ) 14.07.2023 22λWagalatia 5:22-23 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
-
Tunda La Roho ( UPENDO ) 14.07.2023 34λWagalatia 5:22-23 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
-
Kunena Kwa Lugha Part 2.2 29.05.2022 31λFundisho kuhusu kunena au kusema kwa Lugha. Matendo ya Mitume 2:4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
-
Kunena Kwa Lugha Part 2.1 29.05.2022 31λFundisho kuhusu kunena au kusema kwa Lugha. Matendo ya Mitume 2:4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
-
Kunena Kwa Lugha Part 1.2 29.05.2022 27λFundisho kuhusu kunena au kusema kwa Lugha. Matendo ya Mitume 2:4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
-
Kunena Kwa Lugha Part 1.1 29.05.2022 27λFundisho kuhusu kunena au kusema kwa Lugha. Matendo ya Mitume 2:4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
-
Nguvu Ya Sifa Na Maabudu 09.05.2022 24λMtumishi Kicha Kisambo ubiri kubusu Sifa na Maabudu.
-
Fundisho kuhusu Pasaka 29.04.2022 34λPasaka kubwa tatu ndani ya Biblia
-
Je, chanjo ya corona ni 666? 29.03.2022 30λCovid-19 Vaccination; Je, ninamba ya mnyama 666?
-
Nini maana ya Kupayuka payuka katika maombi? 07.10.2021 38λMathayo 6:7 7 Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.
-
Barua kwa Sardi( Ufunuo 3:1-6 ) 01.10.2021 47λBarua kwa Sardi( Ufunuo 3:1-6 ) by FUATA BIBLIA
-
Barua kwa Pergamo( Ufunuo 2:12-17 ) 01.10.2021 45λBarua kwa Pergamo( Ufunuo 2:12-17 ) by FUATA BIBLIA
-
Barua kwa Smurna ( Ufunuo 2:8-11 ) 01.10.2021 36λBarua kwa Smurna ( Ufunuo 2:8-11 ) by FUATA BIBLIA
-
Barua kwa Efeso ( Ufunuo 2:1-7 ) Part 2. 01.10.2021 28λBarua kwa Efeso ( Ufunuo 2:1-7 ) Part 2. by FUATA BIBLIA
Δημοφιλές σε
Αυτό το podcast εμφανίζεται και στις λίστες podcasts αυτών των χωρών.