FUATA BIBLIA IKUONGOZE

FUATA BIBLIA IKUONGOZE

FUATA BIBLIA
Maa Tansania
Kieli EN
Jaksot 45
Viimeisin 17.04.2025

Hiki ni kipindi cha Kikristo kinachowaelimisha watu kuhusu Neno la Mungu kwa kutumia Biblia. Kipindi hiki kinajikita katika mafundisho, maonyo, na maulizo kutoka katika Maandiko, hasa kwa wale wanaotarajia kwenda mbinguni. Lengo lake ni kuleta maarifa ya Biblia kwa Wakristo, kwa kusisitiza umuhimu wa kujua Neno la Mungu kama ilivyoandikwa katika 2 Timotheo 3:16-17 na Methali 12:1. Wasikilizaji wanakaribishwa kuuliza maswali yoyote kuhusu Biblia na kushiriki maoni yao.

Jaksot

Jaksoja ei voitu ladata RSS-syötteestä. Yritä myöhemmin.

Suosittu maassa

Tämä podcast esiintyy myös näiden maiden podcast-listoilla.