Standard Radio Tanzania

Standard Radio Tanzania

Singida 90.1 FM
Pisteet 8
Maailman sijoitus #14181
Maan sijoitus #74 Tansania

Standard Radio ni kituo cha redio cha Standard Voice Limited, kilichoanzishwa mwaka 2012 mjini Singida, Tanzania. Kinalenga kuelimisha, kuburudisha na kuwaunganisha wananchi kwa taarifa za maendeleo, habari na burudani. Inapatikana kwenye masafa 90.1 FM Singida, 91.5 FM Babati, 90.9 FM Tabora na 94.8 FM Shinyanga.

Tietoja

Aseman yhteystiedot