Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania
Zemlja Tanzanija
Jezik SW
Epizode 300
Najnovija 17.08.2026

Podcast hii inaelezea historia na maendeleo ya Radio Maria, redio ya Kikatoliki iliyoanzia Italia katika miaka ya 90 na kuenea katika mabara yote. Inasimulia jinsi Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilivyozaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN yenye makao makuu huko Roma. Pia inajadili ushirikiano kati ya redio mbalimbali za Radio Maria duniani, chini ya uelekezi wa Radio Maria Italia, na jinsi zinavyotekeleza mradi wa kimisionari na kujibu maombi ya waumini. Inasisitiza umuhimu wa kudumisha uhalisi wa chapa na kutoa usaidizi wa kiufundi kwa redio zote katika familia hiyo.

Epizode

  • UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA 17.08.2026 55min
    MWEZESHAJI NI AFISA UTAFITI MWANDAMIZI COSTECH KUTOKA OFISI YA MFUKO WA TAIFA WA UENDELEZAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NTUFYE MWAKIGONJA CHAKULA NA LISHE AUGUST 13 MADA;UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA MWEZESHAJI NI NUSURA SALUMU KUTOKA TFNC
  • FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU 13.08.2026 55min
    KIPINDI HEWANI: PRO LIFE MADA: FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU MADA NDOGO: MAANA YA FAMILIA MTANGAZAJI: PENDO STEPHANO
  • ASILI YA TAMAA NA URAIBU 13.08.2026 59min
    Kipindi: Uraibu Mada:  Asili ya Tamaa na Uraibu Kimeruka hewani Agosti 11, 2026
  • Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto 30.07.2026 57min
    Kipindi:  Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja  
  • Uraibu unajengwa kwa muda gani? 30.07.2026 59min
    Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi
  • BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU  30.07.2026 45min
    KIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER
  • “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” 27.07.2026 55min
    Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali  
  •  Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa 22.07.2026 57min
     Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa
  • Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? 20.07.2026 43min
    Damu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu. Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani […]
  • Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu? 20.07.2026 26min
    Je, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi. Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya […]
  • Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? 20.07.2026 28min
    Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku. Karibu utazame
  • Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza 20.07.2026 47min
    Karibu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo. Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya […]
  • Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi 17.07.2026 47min
    KIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI Mada: Maisha ya Stephano Mtangazaji: Martin Joseph Siku: Ijumaa Julai 17, 2026
  • Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma 15.07.2026 52min
    Kipindi Hewani: Ijue Sheria Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani Studio Elizabeth Masanja
  • Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo 15.07.2026 50min
    KIPINDI – PRO LIFE Mada ndogo Usafi wa Moyo Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania Studio: Pendo Stephano  
  • Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani 11.07.2026 58min
    Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani
  • Taratibu za Wadaawa kuwakilishwa na Mawakili wa Kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo 11.07.2026 49min
    KIPINDI: IJUE SHERIA 📅 Kila Jumatatu saa 8:00 mchana Kipindi hiki kilirushwa Jumatatu, tarehe 6 Julai 2026. Mada: Taratibu za wadaawa kuwakilishwa na mawakili wa kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo. 🎙️ Mwezeshaji: Mheshimiwa Hekima Nyalusi, Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Mwanzo Bomani, Mkoa wa Iringa.
  • Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono 08.05.2026 55min
    Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026
  • Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. 08.05.2026 59min
    Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026
  • Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. 08.05.2026 46min
    Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026

Popularan u

Ovaj podcast pojavljuje se i na podcast ljestvicama ovih zemalja.