Lets impact millionspodcast

Lets impact millionspodcast

Let's impact Millions
Negara Tanzania
Bahasa SW
Episode 1
Terbaru 09.09.2026

Let's Impact Millions Podcast is a masterclass on business, money, and real-world success. It shares practical knowledge and proven strategies in areas like entrepreneurship, investments, financial markets, technology, branding, sales, leadership, and AI. All content is delivered in Kiswahili and is free, aiming to close the knowledge gap in Tanzania and East Africa. The show features conversations with entrepreneurs, leaders, and industry players.

Episode

  • Safari ya Maisha, Kuajiriwa mpaka Biashara | Gari ya 170M kwa Mshahara wa 250K | FULL MASTERCLASS 09.09.2026 5j 46mnt
    Jifunze kuhusu Safari ya Maisha, Kuajiriwa mpaka Biashara | Gari ya 170M kwa Mshahara wa 250K | FULL MASTERCLASS kutoka kwa CEO wa room of jeans brother dominic mmasi
  • Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass 09.09.2026 3j 52mnt
    kwenye hii episod utajifunza safari nzima ya jinsi CEO wa ubepari company Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass
  • Safari Yangu Ya Biashara, Pesa, Investment & Vision | FULL MASTERCLASS 09.09.2026 2j 55mnt
    From failing Form Four to building wealth, businesses, and a powerful vision - Ibrahim Chenza shares the real secrets behind his success. This is not just a podcast, it’s a full masterclass.
  • Jinsi Nilivyopata Zaidi Ya 1.7 BILLION At 21 Years | Biashara | Pesa | Part 1 08.09.2026 2j 7mnt
    Kijana aliyeitikisa Tanzania (2016–2018)… Akiwa na miaka 21 alishika zaidi ya 1.7 Billion TZS kutoka maisha ya kawaida Baada ya muda mrefu kuwa kimya, sasa amefunguka. Ame-share kila kitu A–Z - real experiences, pesa, biashara, highs & lows, na ukweli ambao haujawahi kusemwa hivi kabla. 🎙️ This is not a podcast — it’s a full masterclass.
  • Part 2: Jinsi Nilivyopata Zaidi Ya 1.7 BILLION At 21 Years | Biashara | Pesa | What Really Happened 09.09.2026 3j 40mnt
    Part two (2) ya Kijana aliyeitikisa Tanzania (2016–2018)… Akiwa na miaka 21 alishika zaidi ya 1.7 Billion TZS kutoka maisha ya kawaida, Baada ya muda mrefu kuwa kimya, sasa amefunguka, Ame-share kila kitu A–Z - real experiences, pesa, biashara, highs & lows, na ukweli ambao haujawahi kusemwa hivi kabla.

Populer di

Podcast ini juga muncul di daftar podcast negara-negara ini.