Kilimanjaro Revival FM
Moshi 95.9 FM
1
Kilimanjaro Revival FM ni kituo cha redio cha Kikristo kinachomilikiwa na Kilimanjaro Revival Temple (TAG-KRT) kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro. Kina matangazo ya kujenga na kuhimiza wasikilizaji kupitia programu za kuarifu, kuelimisha na kuburudisha huku kikitukuza Mungu. Kinalenga eneo lote la Kilimanjaro na sehemu za Arusha, Manyara, Singida na Tanga kwa frequency 95.9 FM.
Info
Contatti stazione
- Indirizzo:P.O.BOX 693 Moshi
- Telefono:+255658959959
- Email:Info@kilimanjarorevivalfm.or.tz
- Sito:www.kilimanjarorevivalfm.or.tz
- Social: