Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
0
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Inashughulikia masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Episodet
-
Changamoto za wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni 03.08.2026 9minUtafiti wa punde zaidi uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya barani Afrika (APHRC) unaonyesha kuwa, Kusini mwa Jangwa la Sahara, msichana mmoja kati ya wanne anapata ujauzito kabla ya kufikisha miaka 18. -
Safari ya akina mama wachanga kutafuta uraia wao na watoto wao mipakani Kenya 28.07.2026 10minNchini Kenya changamoto za kupata stakabadhi muhimu kama vile vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa zingali zinashuhudiwa miongoni wa raia wake hususan kwenye jamii ambazo zinaishi kaunti za miapakani kama vile Busia ,Turkana na Mandera, hali inayoendelea kuwanyika raia hao haki zao za kimsingi na kukosa huduma muhimu za serikali . Hii leo katika makala Jua haki zako tunaangazia akina mama hao na watoto wao jimbo la Busia kwenye mpaka wa Kenya na Uganda -
Kenya: Mawakili waandamana kudai haki 13.07.2026 10minNchini Kenya, mawakili wameandamana kudai haki kufuatia vifo vya wenzao wawili ambao wameuawa katika mazingira tata. -
Sudan : Amnesty International yasema rsf ilikiuka sheria El fasher 12.07.2026 9minShirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeangazia namna gani wapiganaji wa rsf walikiuka sheria wakati wakiteka mji wa El Fasher. -
Haki za wakimbizi awamu ya pili 10.07.2026 10minAwamu ya pili makala haya yanaendelea kuangazia haki za wakimbizi mawakili Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki hizo. -
EAC : Haki za wakimbizi duniani 22.06.2026 9minKila Juni 20 dunia huadhimisha siku ya wakimbizi duniani, juma hili mawakili Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki za wakimbizi. -
Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utotoni zapata sura mpya 10.06.2026 10minLydia Mwende mwanamitindo na mwanaharakati ni mchanga ambaye amejitokeza kupinga mimba wa utotoni nchini na pia kulelewa na mzazi mmoja. -
Kenya : Ukatili wa kijinsia kizungu mkuti 08.06.2026 9minWanawake wanaotetea haki za kijinsia katika eneo la Pwani nchini Kenya wameonya kuhusu ongezeko la visa vya ukatili wa kijinsia, wakisema ukosefu wa elimu kuhusu haki za waathiriwa unawazuia wengi kupata haki. -
KENYA: Dhulma wanazopitia kina mama mtaani Mathare 30.05.2026 9minKatika makala ya Jua Haki zako, tiunazumgumza na waathiriwa waili wa ukatili wajinsia katika mtaa wa Mathare, Benedicta Musalizi na Cathrene Maina pamoja na mwanaharakati ambaye anapigania hazi za waathiriwahawa katika mtaa wa Mathare Bi. Beatrice Karore. -
Kenya: Haki ya wanamziki chipukizi ndani ya Eleve8 25.05.2026 10minMzalishaji wa muziki nchini Kenya Motive Di Don kwa ushirikiano na benko moja nchini humo wameanzisha ushirikiano wa kuwasaidia wanamziki chipkizi ndani ya mradi wa Eleve8. -
Siku ya Mama duniani, je unamtambua mama 15.05.2026 9minKila mwezi mei dunia huduadimisha siku ya mama duniani, je unatambua mchango wa mama duniani. -
Kenya : Uhuru wa wanahabari si mjadala 11.05.2026 10minKila mwezi Mei dunia huadimsha siku ya uhuru wa nyombo vya habari na wanahabari. -
Reuben Kigame na harakati zake kupigia haki 30.04.2026 9minMsanii Reuben Kigame anafafanua harakati zake za kisiasa na ndoto yake kuongoza Kenya. -
Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa 17.04.2026 10minLicha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha na biashara za kimataifa nchini Kenya, wengi wao bado wanakumbana na changamoto kubwa,ikiwemo kudhalilishwa, ubaguzi wa kijinsia na kunyimwa haki zao za msingi wanapojaribu kuingia au kushindana katika masoko ya nje. Katika maeneo ya mashambani hadi mipakani, wanawake hawa wanapambana si tu kukuza biashara zao, bali pia kupigania heshima na nafasi sawa katika soko la kimataifa. Makala haya yanaangazia wanawake hao. -
Kenya : Mchango wa masharika ya kiraia kwa jamii 08.04.2026 9minKatika makala haya tunajikita kuangazia mchango wa mashariki yasiokuwa ya kiserikali kwenye jamii zetu. Tunaliangazia shirika la Corps Africa ambalo kwa ushirikiano jamii mbali mbali nchini Kenya limeendelea kuleta mageuzi kwa raia. -
Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa 31.03.2026 10minKatika makala haya tunaangazia ripoti kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya, -
Kenya : Haki za wafanyibiashara wa soko la Kigomba 28.03.2026 10minKatika makala haya tunaangazia haki za wafanyibiashara katika soko la Gikomba nchini Kenya. -
Kenya : Haki za watoto wa kurandaranda mitaani 27.03.2026 10minKila mtotto ana haki kwa mjibu wa katiba za kila nchi na maazio ya kimataifa. -
EAC : Wanawake wasilia nyuma katika harakati za amani 09.03.2026 10minKila Machi nane dunia, huadimisha siku ya kimataifa ya wanawake, katika makala haya tunaangazia sababu ambazo zimechangia wanawake kuachwa nyuma katika harakati za kutafuta amani. -
Haki za wakimbizi wanapokimbilia mataifa ya kigeni 26.02.2026 10minJe ni masaibu gani wanayopitia wakimbizi wakati wanapokimbia nchi zao?