Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
0
Nyumba ya Sanaa ni makala ya utamaduni inayowapa wasanii na wadau wa sanaa fursa ya kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya Afrika na dunia. Inalenga kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni, kwa kuzingatia maisha ya kisasa na utandawazi.
Епизоде
-
Nyumba ya sanaa: Muziki wa Kifipa 27.06.2026 20минWiki hii Steven Mumbi anazungumzia kuhusu muziki wa Kifipa
-
Joseph Issa Mohamed - Muigizaji wa Michezo ya Radio 13.06.2026 20минJoseph Issa Mohamed, maarufu Onyango Muigizaji wa Michezo ya Radio, anakumbukwa, katika Makala ya ya Nyumba ya Sanaa.
-
Muigizaji Nguli Bakari Mbelemba maarufu Mzee Jangala 06.06.2026 20минMuigizaji Nguli Bakari Mbelemba maarufu Mzee Jangala awataka Wasanii wachanga kutobweteka, Sikiliza Makala ya Nyumba ya sanaa.
-
Nyimbo na ngoma asili Bagamoyo Tanzania 30.05.2026 20минWiki hii tunaangazia sanaa ya nyimbo na ngoma za asili katika Mji wa Bagamoyo nchini Tanzania.
-
Uchoraji unavyowasaidia vijana kujimudu kimaisha 16.05.2026 20минLicha ya kuwa na Shahada ya Utafiti wa Binadamu,Sanaa ya Uchoraji imempa fursa ya kumudu Maisha, Kutana na Cletus Kenedy.
-
Sanaa ya uchoraji na Jordan Katunzi 09.05.2026 20минMbali na kuwa na Talanta ya Uchoraji, sasa wachoraji nchini Tanzania wanasomea fani hiyo ili kufanya sanaa kwa ufanisi, Jordan Katunzi ni Mchoraji amezungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
-
John Sombi Kafula, Mwanamuziki wa muziki wa asili kutoka kabila Wasukuma 18.04.2026 20минWasukuma ni kabila kubwa zaidi nchini Tanzania, linakadiriwa kufikia watu milioni 10, idadi inayowakilisha asilimia 16 ya wakazi wa nchi kwa ujumla, Wasukumua ni maarufu kwa Muziki wa asili.
-
Tanzania: Singeli na Mima 11.04.2026 19минWikendi kwenye makala ya nyumba ya sanaa, Mwandishi wetu Steven Mumbi aangazia muziki wa singeli na Mima.
-
Sanaa ya mjukwani 04.04.2026 20минWiki hii tunaangazia sanaa ya majukwani.
-
Uchoraji msimu wa siku kuu 28.03.2026 19минSanaa ya uchoraji wakati wa sherehe za siku kuu katika visiwa vya Zanzibar.
-
Uigizaji Filamu na Wastara 07.03.2026 20минUigizaji Filamu na Wastara kutoka nchini Tanzania.
-
Sanaa ya uchongaji 15.11.2025 20минSteven Mumbi anaangazia sanaa ya uchongaji jijini Dar es Salaam nchini Tanzania.
-
Real Jofu kuhusu Bongo Fleva 01.11.2025 20минSteven Mumbi amezungumza naye msani Real Jofu kuhusu muziki wa Bongo Fleva.
-
Nyumba ya sanaa: Muziki wa densi visiwani Zanzibar 20.09.2025 20минKatika Makala ya wiki hii tunaangazia safari ya muziki wa densi visiwani Zanzibar.
-
Vijana wa Goma wajituma kuimarisha sanaa ya muziki na utamaduni wa Afrika 17.09.2025 20минMakala ya wiki hii imeangazia namna wasanii wanaoishi katika maeneo yenye vita mashariki mwa DRC wanavyojituma katika kuimarisha sanaa ya muziki na utamaduni wa Afrika. Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka hivi karibuni alitembelea mji wa Goma mkowani Kivu kaskazini ambako alikutana na msanii wa muziki na mtengeneza filamu Malick Maliro ambaye anaeleza kwa urefu kuhusu mbinu zake
-
Miaka 30 ya safari ya msanii Mack el Sambo mjini Goma mashariki mwa DRC 30.08.2025 20минHii leo ninaungana na mwenzangu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa Goma ambako alikutana na wasanii kadhaa ambao wamo mbioni katika kuhamasisha Amani na mshikamano wa jamii kupitia Nyimbo zao, na leo kwa namna ya pekee tutaungana na msanii mkongwe wa miaka mingi katika mji huo ambaye amejiwekea sifa kubwa katika eneo la maziwa makuu MACK ELSAMBO Kataka ambaye kwa zaidi ya miaka 30 amekuwa akiimba AMANI
-
Wanamuziki mjini Goma walazimika kufanyia muziki katika nchi jirani 02.08.2025 20минMji wa Goma mashariki ya DRC unakabiliwa na changamoto baada ya waasi wa M23 kuuchukua mji huo sasa wanamuziki wanalazimika kwenda nchi jirani kufanya Muziki. Tumezungumza naye msani Sisco laga.
-
Sanaa ya utunzi wa vitabu nchini Tanzania na Leticia Ndanzi Bubelwa 26.07.2025 20минImezoeleka ukisikia Utunzi wa Vitabu utawazia Vitabu vya Riwaya,Tamthilia ama Hadithi ,kutana na Leticia Ndanzi Bubelwa Mtunzi wa Vitabu vya Shajara ama kwa kimombo Journals.
-
Sanaa ya Muziki na Hamis Bss 19.07.2025 20минSanaa ya Muziki na Hamis Bss kutoka nchini Tanzania
-
Tanzania: Sanaa ya uiigizaji na Lumole Matovolwa 12.07.2025 20минLumole Matovolwa ni Miongoni mwa waigazi wa filamu ya kwanza ya Kibiashara nchini Tanzania ya Girl Friend amezungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
Популаран у
Овај подкаст се појављује и у подкаст листама ових земаља.