Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili
Ülke Fransa
Türler Hükümet
Dil SW
Bölüm 24
Son 22.06.2026

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Inashughulikia masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Bölümler

  • EAC : Haki za wakimbizi duniani 22.06.2026 9dk
    Kila Juni 20 dunia huadhimisha siku ya wakimbizi duniani, juma hili mawakili Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki za wakimbizi.
  • Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utotoni zapata sura mpya 10.06.2026 10dk
    Lydia Mwende mwanamitindo na mwanaharakati ni mchanga ambaye amejitokeza kupinga mimba wa utotoni nchini na pia kulelewa na mzazi mmoja.
  • Kenya : Ukatili wa kijinsia kizungu mkuti 08.06.2026 9dk
    Wanawake wanaotetea haki za kijinsia katika eneo la Pwani nchini Kenya wameonya kuhusu ongezeko la visa vya ukatili wa kijinsia, wakisema ukosefu wa elimu kuhusu haki za waathiriwa unawazuia wengi kupata haki.
  • KENYA: Dhulma wanazopitia kina mama mtaani Mathare 30.05.2026 9dk
    Katika makala ya Jua Haki zako, tiunazumgumza na waathiriwa waili wa ukatili wajinsia katika mtaa wa Mathare, Benedicta Musalizi na Cathrene Maina pamoja na mwanaharakati ambaye anapigania hazi za waathiriwahawa katika mtaa wa Mathare Bi. Beatrice Karore.
  • Kenya: Haki ya wanamziki chipukizi ndani ya Eleve8 25.05.2026 10dk
    Mzalishaji wa muziki nchini Kenya Motive Di Don kwa ushirikiano na benko moja nchini humo wameanzisha ushirikiano wa kuwasaidia wanamziki chipkizi ndani ya mradi wa Eleve8.
  • Siku ya Mama duniani, je unamtambua mama 15.05.2026 9dk
    Kila mwezi mei dunia huduadimisha siku ya mama duniani, je unatambua mchango wa mama duniani.
  • Kenya : Uhuru wa wanahabari si mjadala 11.05.2026 10dk
    Kila mwezi Mei dunia huadimsha siku ya uhuru wa nyombo vya habari na wanahabari.
  • Reuben Kigame na harakati zake kupigia haki 30.04.2026 9dk
    Msanii Reuben Kigame anafafanua harakati zake za kisiasa na ndoto yake kuongoza Kenya.
  • Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa 17.04.2026 10dk
    Licha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha na biashara za kimataifa nchini Kenya, wengi wao bado wanakumbana na changamoto kubwa,ikiwemo kudhalilishwa, ubaguzi wa kijinsia na kunyimwa haki zao za msingi wanapojaribu kuingia au kushindana katika masoko ya nje. Katika maeneo ya mashambani hadi mipakani, wanawake hawa wanapambana si tu kukuza biashara zao, bali pia kupigania heshima na nafasi sawa katika soko la kimataifa. Makala haya yanaangazia wanawake hao.
  • Kenya : Mchango wa masharika ya kiraia kwa jamii 08.04.2026 9dk
    Katika  makala haya tunajikita kuangazia mchango wa mashariki yasiokuwa ya kiserikali kwenye jamii zetu. Tunaliangazia shirika la Corps Africa ambalo kwa ushirikiano jamii mbali mbali nchini Kenya limeendelea kuleta mageuzi kwa raia.
  • Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa 31.03.2026 10dk
    Katika makala haya tunaangazia ripoti  kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya,
  • Kenya : Haki za wafanyibiashara wa soko la Kigomba 28.03.2026 10dk
    Katika makala haya tunaangazia haki za wafanyibiashara katika soko la Gikomba nchini Kenya.
  • Kenya : Haki za watoto wa kurandaranda mitaani 27.03.2026 10dk
    Kila mtotto ana haki kwa mjibu wa katiba za kila nchi na maazio ya kimataifa.
  • EAC : Wanawake wasilia nyuma katika harakati za amani 09.03.2026 10dk
    Kila Machi nane dunia, huadimisha siku ya kimataifa ya wanawake, katika makala haya tunaangazia sababu ambazo zimechangia wanawake kuachwa nyuma katika harakati za kutafuta amani.
  • Haki za wakimbizi wanapokimbilia mataifa ya kigeni 26.02.2026 10dk
    Je ni masaibu gani wanayopitia wakimbizi wakati wanapokimbia nchi zao?
  • Kenya: Mchakato wa kutoa taarifa za rushwa kwa tume ya EACC 23.02.2026 9dk
    Nchini Kenya tume ya kupambana na rushwa EACC imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha mali ya umma haiporwi.
  • Haki ya kuhifadhi taarifa za Siri 09.02.2026 9dk
    Je unafahamu kuhusu haki ya taarifa zako za siri kuhifadhiwa? na je unatambua hatua unazostahili kufuata iwapo zitatolewa?
  • Human Right Watch : Haki zinakandamizwa pembe ya Africa 09.02.2026 9dk
    Makala haya yanaangazia ripoti  ya Human Rights Watch iliyochapishwa tarehe 4 Februari 2026, inayozungumzia hali ya kutisha ya haki za binadamu katika eneo la Pembe ya Africa.
  • Kenya: Hatua za kutafuta haki kwa dhulma za kinadada mtaani Mathare 27.01.2026 9dk
    Kwa miaka mingi Beatrice Karole amekuwa akijitolea kuhamasisha jamii kuhusiana na hatua za kuchukua wakati wanapokabiliana na unyanyasaji wa jinsia. Akiwa na shirika la kinamama la Wanawake Mashinani Initiative katika eneo la Mathare Jijini Nairobi, amefanikiwa kuwaokoa jumla ya wanawake na watoto 30 katika mwaka 2025 ambao anajivunia kuwa licha ya kunyanyaswa, walipata haki yao.
  • Kenya: Wakulima wadogowadogo washinda kesi ya Sheria ya Mbegu na Mimea dhidi ya KEPHIS 25.01.2026 21dk
    Nchini Kenya, Sheria ya Mbegu na Mimea (The Kenya Seed and Plants Varieties Act), ambayo ilitishia kuwatoza faini na kuwafunga jela wakulima wadogo kwa kugawana mbegu ambazo hazijaidhinishwa, iliamuliwa kuwa kinyume cha katiba. Mahakama ya Kikatiba katika kaunti ya Machakos nchini Kenya ilitoa uamuzi wa kihistoria Novemba 27 2025 kuhusu uhalali wa Sheria ya Mbegu na Aina za Mimea. George Ajowi amekuwa akifuatilia kesi hii na kuandaa taarifa ifuatayo.