Radio Tumaini

Radio Tumaini

Puan -14
Dünya sıralaması #39236
Ülke sıralaması #147 Tanzanya

Hakkında

Radio Tumaini ni kituo cha redio cha jamii kinachomilikiwa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Tanzania. Kina matangazo ya dini, habari, elimu, burudani na siasa kwa lugha ya Kiswahili. Kilianza kutoa matangazo mwaka 1994 kama kituo cha kwanza cha redio binafsi nchini Tanzania.

İstasyon iletişim