Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania
Χώρα Τανζανία
Γλώσσα SW
Επεισόδια 300
Τελευταίο 20.08.2026

Podcast hii inaelezea historia na maendeleo ya Radio Maria, redio ya Kikatoliki iliyoanzia Italia katika miaka ya 90 na kuenea katika mabara yote. Inasimulia jinsi Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilivyozaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN yenye makao makuu huko Roma. Pia inajadili ushirikiano kati ya redio mbalimbali za Radio Maria duniani, chini ya uelekezi wa Radio Maria Italia, na jinsi zinavyotekeleza mradi wa kimisionari na kujibu maombi ya waumini. Inasisitiza umuhimu wa kudumisha uhalisi wa chapa na kutoa usaidizi wa kiufundi kwa redio zote katika familia hiyo.

Επεισόδια

  • Fahamu mambo sita muhimu kuliko fedha 20.08.2026 25λ
    Karibu katika kipindi cha Tafakari Nasi, tunaungana na Padre John Bosco, Paroko Msaidizi wa Parokia ya Kilimahewa, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akitutafakarisha juu ya mambo sita bora na muhimu kuliko fedha, umaarufu na madaraka.
  • Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana 20.08.2026 52λ
    Ungana nami Mtanagzaji wako Festo Chahali katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa akiendelea kutufundisha juu ya umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana
  • Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana 20.08.2026 59λ
    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa akitufundisha juu ya Amecea na Vinaja.
  • Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi? 20.08.2026 54λ
    Karibu uungane nami Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoka akiendelea kujibu maswali ya msikilizaji na moja la maswali hayo ni je, Tanzania kuna jumla ya majimbo mangapi Katoliki?
  • Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena? 20.08.2026 53λ
    Karibu uungane nami Partick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, ambapo leo studio nipo na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akiendelea kujibu maswali ya wasikilizaji wetu, moja ya swali alilojibu ni je, mtu akibatizwa katika dhehebu lingine awaweza kubatizwa tena?
  • UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA 17.08.2026 55λ
    MWEZESHAJI NI AFISA UTAFITI MWANDAMIZI COSTECH KUTOKA OFISI YA MFUKO WA TAIFA WA UENDELEZAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NTUFYE MWAKIGONJA CHAKULA NA LISHE AUGUST 13 MADA;UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA MWEZESHAJI NI NUSURA SALUMU KUTOKA TFNC
  • FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU 13.08.2026 55λ
    KIPINDI HEWANI: PRO LIFE MADA: FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU MADA NDOGO: MAANA YA FAMILIA MTANGAZAJI: PENDO STEPHANO
  • ASILI YA TAMAA NA URAIBU 13.08.2026 59λ
    Kipindi: Uraibu Mada:  Asili ya Tamaa na Uraibu Kimeruka hewani Agosti 11, 2026
  • Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto 30.07.2026 57λ
    Kipindi:  Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja  
  • Uraibu unajengwa kwa muda gani? 30.07.2026 59λ
    Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi
  • BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU  30.07.2026 45λ
    KIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER
  • “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” 27.07.2026 55λ
    Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali  
  •  Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa 22.07.2026 57λ
     Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa
  • Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? 20.07.2026 43λ
    Damu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu. Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani […]
  • Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu? 20.07.2026 26λ
    Je, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi. Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya […]
  • Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? 20.07.2026 28λ
    Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku. Karibu utazame
  • Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza 20.07.2026 47λ
    Karibu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo. Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya […]
  • Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi 17.07.2026 47λ
    KIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI Mada: Maisha ya Stephano Mtangazaji: Martin Joseph Siku: Ijumaa Julai 17, 2026
  • Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma 15.07.2026 52λ
    Kipindi Hewani: Ijue Sheria Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani Studio Elizabeth Masanja
  • Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo 15.07.2026 50λ
    KIPINDI – PRO LIFE Mada ndogo Usafi wa Moyo Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania Studio: Pendo Stephano  

Δημοφιλές σε

Αυτό το podcast εμφανίζεται και στις λίστες podcasts αυτών των χωρών.