Tikvah's Podcast

Tikvah's Podcast

Tikvah
Ország Egyesült Államok
Műfajok Művészetek
Nyelv EN-US
Epizódok 4
Legutóbbi 29.07.2026

The podcast seeks to inspire, educate, and connect Christians in navigating Christian living, family dynamics, faith-building, and impactful engagement with the world.

Epizódok

  • The Kingdom Made Visible: Reflecting the Character of Jesus Ft Apostle Daniel Musokwa 29.07.2026 1ó 37p
    Send us Fan Mail What is the Kingdom of God, and how is it revealed through believers? In this episode, we sit down with Apostle Daniel Musukwa from New Testament Ministry to discuss the true meaning of God’s Kingdom. We explore how the Kingdom is demonstrated not only through preaching, miracles, or outward displays of power, but through meekness, humility, love, servanthood, and the character of Jesus expressed in everyday life. When believers reflect Christ, the reality and effectiveness o...
  • On-Stage Dopamine: Maisha Baada ya Applause 24.07.2026 27p
    Send us Fan Mail DESCRIPTION Ni nini kinatokea baada ya lights kuzimwa, microphone kuwekwa chini, na crowd kuondoka? Katika kipindi hiki cha Tikvah Podcast, tunazungumzia upande ambao mara nyingi hauonekani wa public praise—pressure ya ku-maintain image, kutafuta validation, na kutegemea applause ili kujisikia valuable. Tunaangalia jinsi stage, social media, influence na public recognition vinaweza kuwa tools nzuri, lakini pia vinaweza kuanza kuchukua nafasi ya identity yetu. Je, unaweza bado...
  • AI, Ibada na Kanisa: A Conversation with Pastor Delphinus Rwegasira 04.07.2026 1ó 7p
    Send us Fan Mail Katika episode hii ya Tikvah Podcast, tunakaa na Pastor Del kuzungumza kuhusu Artificial Intelligence na nafasi yake ndani ya Kanisa. Je, AI inaweza kutumika kama tool kwenye worship, teaching, na Christian content creation? Au Kanisa linapaswa kuwa makini zaidi? This conversation is about wisdom, discernment, biblical truth, and keeping Christ at the center in a fast-changing world. AI inaweza kuwa tool, but Christ remains the center.
  • AI na Ubunifu wa Injili | Je, AI Inaua Creativity au Inaiinua? | Ft. Innocent Mwagilo 27.06.2026 42p
    Send us Fan Mail Katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wetu kuhusu AI na Ubunifu wa Injili, tunazungumza na Innocent Mwagilo — Music Producer, Songwriter na Sound Engineer. Katika mazungumzo haya tunachunguza namna Artificial Intelligence (AI) inavyoendelea kubadilisha music production na ubunifu kwa ujumla. Je, AI ni tool nyingine tu kama tulivyozoea kutumia studio software, au imeanza kuchukua nafasi ya creativity ya mwanadamu? Hili si mjadala wa kupinga au kuunga mkono AI. Ni mazungumzo ya ...
  • Yusufu: Kivuli cha Kristo 21.06.2026 44p
    Send us Fan Mail Simulizi la Yusufu siyo tu hadithi ya kutoka gerezani kwenda ikulu. Ni picha inayotuelekeza kwa Kristo. Yusufu alikuwa mwana aliyependwa na baba yake, akakataliwa na ndugu zake, akauzwa kwa fedha, akateseka bila hatia, na hatimaye akainuliwa ili kuhifadhi uhai wa wengi. Kwa namna kubwa zaidi, yote haya yanatuelekeza kwa Yesu Kristo — Mwana mpendwa wa Baba, aliyekataliwa, aliyeteseka, na kupitia mateso yake akaleta wokovu kwa ulimwengu. Katika kipindi hiki tunatafakari kwa nin...
  • Imani Kwa Mungu Au Imani Kwa Mbinu?-Episode 3 08.06.2026 56p
    Send us Fan Mail Katika Episode hii nimefanya mazungmzo na kaka yangu na mwalimu wangu Faith Joel Shimba Kuhusu namna kanisa limejikuta likibobea katika shughuli za kiroho na kusaua kuhusu Mungu
  • Uchambuzi wa Nyimbo-Kitabu by Paul Clement 27.05.2026 20p
    Send us Fan Mail Tumejadili kuhusu live record ya wimbo wa Paul Clement Kitabu(Ajabu) wimbo unapatikana kwenye Youtube channel yake Paul Clement pamoja na Digital Platform zote, tumejadili kuhusu ubora wa utunzi ubora na ubora wa video Karibu kusikiliza
  • Imani Kwa Mungu Au Imani Kwa Mbinu?-Episode 2 27.05.2026 11p
    Send us Fan Mail Katika episode hii tunachunguza namna ambavyo baadhi ya huduma na makanisa ya kizazi hiki yamehamisha watu kutoka kumtafuta Kristo kwenda kushikilia mbinu, ishara, na experiences za kiroho. Kutoka matumizi ya mafuta, maji, udongo, vitambaa, prophetic acts, hadi “gymnastics” nyingi za kiroho , tunajiuliza: Je, hizi ni njia zinazotupeleka kwa Mungu, au zimekuwa distraction inayochukua nafasi ya ujumbe wa kweli wa Injili? Kupitia mifano ya Yesu Kristo na mitume: Yesu kutumia mat...
  • Imani Kwa Mungu Au Imani Kwa Mbinu? 22.05.2026 10p
    Send us Fan Mail Katika episode hii tunazungumzia tofauti kati ya kumwamini Mungu na kuamini mbinu za kiroho. Mara nyingi waamini tunajikuta tukiegemea sana maombi, kufunga, ibada, na taratibu mbalimbali za kiroho kiasi kwamba tunasahau kuwa vitu hivi vilikusudiwa kutupeleka kwa Mungu — sio kuchukua nafasi ya Mungu mwenyewe. Kupitia simulizi la Musa na mwamba, pamoja na mafundisho ya Yesu kuhusu mapokeo, tunatafakari namna ambavyo mbinu zinaweza kuwa muhimu kuliko uhusiano wa kweli na Mungu. ...

Népszerű itt:

Ez a podcast ezeknek az országoknak a podcast-listáin is szerepel.