FUATA BIBLIA IKUONGOZE

FUATA BIBLIA IKUONGOZE

FUATA BIBLIA
País Tanzânia
Idioma EN
Episódios 45
Último 17.04.2025

Hiki ni kipindi cha Kikristo kinachowaelimisha watu kuhusu Neno la Mungu kwa kutumia Biblia. Kipindi hiki kinajikita katika mafundisho, maonyo, na maulizo kutoka katika Maandiko, hasa kwa wale wanaotarajia kwenda mbinguni. Lengo lake ni kuleta maarifa ya Biblia kwa Wakristo, kwa kusisitiza umuhimu wa kujua Neno la Mungu kama ilivyoandikwa katika 2 Timotheo 3:16-17 na Methali 12:1. Wasikilizaji wanakaribishwa kuuliza maswali yoyote kuhusu Biblia na kushiriki maoni yao.

Episódios

Não foi possível carregar os episódios do feed RSS. Tente mais tarde.

Popular em

Este podcast também aparece nas paradas de podcasts destes países.