Neno la Leo
Neno la Leo 255
0
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana (Zaburi 118:24). Anza siku mpya ya Yesu kwa kusiliza na kutafakari nasi “Neno la Leo” kila siku kwa lugha ya Kiswahili.
Episódios
-
Yefta! Somo kwa Kizazi cha Leo 17.06.2026 21minYefta. Mwamuzi aliyekataliwa na ndugu zake na kufukuzwa nyumbani. Lakini wakati wa vita, wale waliomkataa walimhitaji. Sikiliza simulizi la Yefta na ujifunze kuhusu kukataliwa, kusudi la Mungu, uongozi na nguvu ya maneno tunayoyasema.
Popular em
Este podcast também aparece nas paradas de podcasts destes países.