Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania
0
Podcast hii inaelezea historia na maendeleo ya Radio Maria, redio ya Kikatoliki iliyoanzia Italia katika miaka ya 90 na kuenea katika mabara yote. Inasimulia jinsi Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilivyozaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN yenye makao makuu huko Roma. Pia inajadili ushirikiano kati ya redio mbalimbali za Radio Maria duniani, chini ya uelekezi wa Radio Maria Italia, na jinsi zinavyotekeleza mradi wa kimisionari na kujibu maombi ya waumini. Inasisitiza umuhimu wa kudumisha uhalisi wa chapa na kutoa usaidizi wa kiufundi kwa redio zote katika familia hiyo.
Епізоди
-
UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA 17.08.2026 55хвMWEZESHAJI NI AFISA UTAFITI MWANDAMIZI COSTECH KUTOKA OFISI YA MFUKO WA TAIFA WA UENDELEZAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NTUFYE MWAKIGONJA CHAKULA NA LISHE AUGUST 13 MADA;UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA MWEZESHAJI NI NUSURA SALUMU KUTOKA TFNC -
FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU 13.08.2026 55хвKIPINDI HEWANI: PRO LIFE MADA: FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU MADA NDOGO: MAANA YA FAMILIA MTANGAZAJI: PENDO STEPHANO -
ASILI YA TAMAA NA URAIBU 13.08.2026 59хвKipindi: Uraibu Mada: Asili ya Tamaa na Uraibu Kimeruka hewani Agosti 11, 2026 -
Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto 30.07.2026 57хвKipindi: Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja -
Uraibu unajengwa kwa muda gani? 30.07.2026 59хвKipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi -
BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU 30.07.2026 45хвKIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER -
“Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” 27.07.2026 55хвKipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali -
Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa 22.07.2026 57хвHaki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa -
Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? 20.07.2026 43хвDamu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu. Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani […] -
Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu? 20.07.2026 26хвJe, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi. Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya […] -
Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? 20.07.2026 28хвKatika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku. Karibu utazame -
Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza 20.07.2026 47хвKaribu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo. Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya […] -
Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi 17.07.2026 47хвKIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI Mada: Maisha ya Stephano Mtangazaji: Martin Joseph Siku: Ijumaa Julai 17, 2026 -
Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma 15.07.2026 52хвKipindi Hewani: Ijue Sheria Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani Studio Elizabeth Masanja -
Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo 15.07.2026 50хвKIPINDI – PRO LIFE Mada ndogo Usafi wa Moyo Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania Studio: Pendo Stephano -
Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani 11.07.2026 58хвMadhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani -
Taratibu za Wadaawa kuwakilishwa na Mawakili wa Kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo 11.07.2026 49хвKIPINDI: IJUE SHERIA 📅 Kila Jumatatu saa 8:00 mchana Kipindi hiki kilirushwa Jumatatu, tarehe 6 Julai 2026. Mada: Taratibu za wadaawa kuwakilishwa na mawakili wa kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo. 🎙️ Mwezeshaji: Mheshimiwa Hekima Nyalusi, Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Mwanzo Bomani, Mkoa wa Iringa. -
Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono 08.05.2026 55хвKaribu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026 -
Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. 08.05.2026 59хвKaribu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026 -
Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. 08.05.2026 46хвKaribu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026
Популярний у
Цей подкаст також потрапляв у чарти подкастів у цих країнах.