Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili
Country France
Genres News
Language SW
Episodes 24
Latest 11.09.2026

Kipindi hiki cha Afrika ya Mashariki kinatoa taarifa na elimu kuhusu changamoto za maisha za wananchi wa Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu. Wapendwa wa kipindi wanapata nafasi ya kutoa mawazo yao na kusikiliza wataalamu mbalimbali. Lengo ni kuwasaidia kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Episodes

  • EAC: Kesi za kisiasa au utawala wa kisheria 11.09.2026 9m
    Katika kipindi cha miaka ya karibuni, viongozi wa upinzani katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki wameendelea kujikuta mahakamani wakikabiliwa na tuhuma mbalimbali zikiwemo uhaini. 
  • Kenya yaanza safari ya kutafuta dira mpya, ruwaza ya 2030 ikielekea kufika ukomo 21.08.2026 9m
    Kenya imeanza safari ya kutafuta dira mpya ya maendeleo baada ya Ruwaza ya Taifa ya Maendeleo 2030 kuelekea kufikia ukomo wake.
  • Tanzania: Nanenane imebaki maonesho ya kilimo au imegeuka soko la biashara? 12.08.2026 9m
    Tunaangazia mjadala kuhusu mustakabali wa maonesho ya nanenane nchini Tanzania. Je yaendelee kuwa jukwaa la teknolojia za kilimo pekee au yafungue milango kwa biashara zote?
  • Safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma 01.08.2026 9m
    Katika Makala ya wiki hii, tunaangazia safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma.
  • Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC? 24.07.2026 9m
    Katika Makala ya Afrika Mashariki, tunaangazia mchakato wa mazungumzo ya kitaifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, nafasi ya viongozi wa dini na matarajio ya wadau wa kisiasa katika kutafuta amani na maridhiano ya kudumu.
  • CCM na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano. 15.07.2026 9m
    Baada ya mvutano wa kisiasa uliojitokeza mara baada ya uchaguzi mkuu uliopita huko Zanzibar, sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano.
  • Hali ya Ziwa Victoria na changamoto zinazolikabili 30.05.2026 9m
    Tunaangazia hali ya Ziwa Victoria, changamoto zinazolikabili pamoja na juhudi za kikanda zinazofanyika kulinusuru ziwa hilo ambalo ni mhimili wa uchumi na maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki.
  • Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba 02.05.2026 9m
    Makala ya Afrika Mashariki, ikiangazia juu ya ripoti ya Tume ya uchunguzi wa matukio ya wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa October 29, 2025 nchini Tanzania.
  • Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 11.04.2026 9m
    April 7, 1994 ni siku ya ambayo historia ya Rwanda ilianadikwa kwa wino mwekundu kumaanisha hatari, kifo cha Rais zamani wa Taifa hilo Juvenal Habyarimana aliuawa akitokea nchini Tanzania katika mchakato wa kusaka amani nchini Rwanda, baada ya waasi wa kundi la RPF wakati huo, ambalo kwa sasa ni chama kilichopo madarakani, kuanzisha vita dhidi ya serikali ya Juvenal Habyarimana, wakimtuhumu kuwatenga raia wa Rwanda kutoka jamii ya watutsi. 
  • Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika 11.04.2025 9m
    Karibu katika ya Afrika mashariki hii leo macho na masikio ya Makala haya yanatazama kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika tukienega katika Mkutano wa Kimataifa wa AI kuhusu Afrika 2025, unaofanyika Kigali nchini Rwanda Mwandalizi na  msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe soote hadi tamati 
  • Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ? 05.04.2025 9m
    Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao. 
  • Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki 29.03.2025 9m
    Maambukizi ya kifua kikuu yanaweza kuenezwa kwa urahisi katika miji mikubwa na maeneo ya umma ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, kama vile vituo vya mabasi, masoko, na hata sehemu za kazi kama waendesha bodaboda wanavyojihusisha. 
  • Tanzania: Namna wakaazi wa vijijini wanafikiwa na huduma za maji 15.03.2025 9m
    Namna wakazi wa maeneo ya vijijini wanafikiwa na huduma za maji nchini Tanzania.
  • Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika 08.03.2025 9m
    Mgogoro wa Mashariki ya DRC umeendelea kwa miongo kadhaa, na bado ni moja ya changamoto kubwa za kiusalama na kisiasa Barani Afrika.
  • Umuhimu wa kutunza lugha mama katika jamii za Afrika 01.03.2025 9m
    Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tukiangaza safari ya miaka 25 ya UNESCO kuenzi lugha mama na nafasi ya lugha mama katika kukuza maendeleo ya jamii Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe sote hadi tamati ya Makala haya.  
  • Namna wakazi wanaoishi karibu na migodi wanaweza kufaidika na shughuli hizo 01.02.2025 9m
    Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama na kuangazia kwa namna gani wakazi wanaozunguka migodi ya madini kupitia uwajibikaji kwa jamii.
  • Tanzania: Changamoto wanazokabiliwa nazo watu wenye Albinism mjini Mwanza 22.01.2025 9m
    Watu wenye ualbino Afrika Mashariki, na hasa nchini Tanzania, wanakutana na changamoto kubwa za kijamii, kisiasa na kiuchumi. Vilevile, wanakumbana na unyanyapaa, ubaguzi, na vitendo vya kikatili vinavyoweza kupelekea madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na mauaji na uharibifu wa miili yao.  
  • Safari ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar 18.01.2025 9m
    Zanzibar ilipata uhuru kamili mnamo Desemba 10, 1963, kutoka kwa Uingereza, Waarabu walio wachache walifanikiwa kushika madaraka waliyorithi kutoka kwa Zanzibar kuwepo kama eneo la ng'ambo la Oman.
  • Tanzania: Kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa 16.11.2024 9m
    Wiki hii tunatuwa nchini Tanzania tukiangaza kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa (UVIDA)
  • Uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania 08.11.2024 9m
    Sekta ya Kilimo inaongoza kuwa na fursa nyingi za uwekezaji kwa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla kwa mfano uzalishaji wa Ngano, mafuta ya kupikia, matunda na mboga mboga, mbolea, Viatilifu, mbegu bora, vifungashio, kupunguza upotevu wa mazao baada ya mavuno na eneo la kilimo cha umwagiliaji.   

Popular in

The podcast also appears in the podcast charts of these countries.