Kilimanjaro Revival FM

Kilimanjaro Revival FM

Moshi 95.9 FM
Score 0
Global Rank #43965
Country Rank #205 Tanzania

Kilimanjaro Revival FM ni kituo cha redio cha Kikristo kinachomilikiwa na Kilimanjaro Revival Temple (TAG-KRT) kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro. Kina matangazo ya kujenga na kuhimiza wasikilizaji kupitia programu za kuarifu, kuelimisha na kuburudisha huku kikitukuza Mungu. Kinalenga eneo lote la Kilimanjaro na sehemu za Arusha, Manyara, Singida na Tanga kwa frequency 95.9 FM.

About

Station contacts